Breaking News

Your Ad Spot

Sep 30, 2016

MABONDIA KUPIMA UZITO KESHO KWA AJILI YA MPAMBANO WAO WA OCTOBER 2 KIMARA KOROGWE


Na Mwandishi Wetu
BABONDIA mbalimbali watakaozipiga siku ya jumapili ya October 2 katika ukumbi wa White House Bar Kimara Korogwe watapima uzito pamoja na Afya zao kesho jumamosi katika ukumbi uho kwa ajili ya kuzipiga siku inayo fuata

akizungumzia mpambano uho kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini ambaye ni mratibu wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa mabondia wote watapia uzito pamoja na Faya Zao siku ya jumamosi

Aliwataja baadhi ya mabondia watakaozipiga ambao  kesho watapima uzito ni kuwa ni mabondia Said Chino ambaye amejiandaa kuzipiga na >>INAENDELE>BOFYA 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages