Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Sheikh Nurdin Kishiki (kulia) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Mwembe Yanga , Temeke jijini Dar es salaam Septemba 12, 2016 kushiriki katika Sala ya Iddi Alhaji .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika Sala ya Iddi El Haji iliyofanyika kwenye uwanja wa Mwembe Yanga jijini Dar es salaam Septemba 12, 2016. Kushoto ni Sheikh Nurdin Kishiki na Kulia ni Sheikh Ponda. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Sala ya Iddi El Haji iliyofanyika kwenye uwanja wa Mwembe Yanga , Temeke jijini Dar es salaam Septemba 12, 2016.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269