Waziri wa
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akisikiliza
maelezo kutoka kwa mwakilishi wa Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba
Bora na Vifaa vya Ujenzi (NHBRA) wakati wa maadhimisho ya siku ya makazi
duniani jana Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na
waandishi wa habari kuhusu siku ya makazi duniani jana Jijini Dar es
Salaam.
Waziri wa
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akakiangalia
bango la Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi
(NHBRA) wakati wa maadhimisho ya siku ya makazi duniani jana Jijini Dar
es Salaam.
Picha na: Jonas Kamaleki, MAELEZO (P.T)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269