
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa
na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na
Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga alipowasili kwenye ukumbi wa
mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam kwa minajili ya kuzungumza na
Mabalozi wanaowakilisha Tanzania nchi za nje

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi na Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt.
Augustine Mahiga akingia kwenye ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar
es salaam kwa minajili ya kuzungumza na Mabalozi wanaowakilisha Tanzania
nchi za nje

Sehemu ya makatibu wakuu na mabalozi wanaowakilisha Tanzania nchi za nje wakiwa ukumbini

Sehemu ya mabalozi wanaowakilisha Tanzania nchi za nje wakiwa ukumbini

Mnadhimu
Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Venance Mabeyo (kati) na Bw. Alphayo
Kidata, Kamishna Mkuu wa TRA (kulia) na maofisa wengine waandamizi
wakiwa ukumbini

Sehemu ya mabalozi wanaowakilisha Tanzania nchi za nje wakiwa ukumbini

Sehemu ya maofisa Ubalozi wanaowakilisha Tanzania nchi za nje wakiwa ukumbini

Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji TIC Bw. Cliford Tandari (kulia) na maofisa wengine ukumbini hapo

Sehemu ya maofisa Ubalozi wanaowakilisha Tanzania nchi za nje wakiwa ukumbini

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Itifaki Bw.. James Bwana akiwa na mabalozi wakurugenzi wa Idara mbalimbali Wizarani

Balozi wa Tanzania nchini Urusi Luteni Generali Wyjones Kisamba akisimama wakati mabalozi wakitambulishwa

Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Mhe,Wilson M.Masilingi akitambulishwa

Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mhe Angela
Kairuki, Katibu mkuu wake Dkt. Laurian Ndumbaro, Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Juma Assad na viongozi wengine
wakiwa ukumbini

Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Kikanda na Kimataifa, Balozi Aziz Ponary Mlima akiwatambulisha mabalozi

Sehemu ya mabalozi hao

Wajumbe wa mkutano huo

Mabalozi

Wajumbe wa mkutano

Maofisa wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa

Maofisa toka Sekretarieti ya Maadili,

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akisoma risala yake

Wajumbe wakifuatilia kwa makini

Waziri Mkuu Mhe Kasssim Majaliwa akiongea na wajumbe

Waziri Mkuu Mhe Kasssim Majaliwa akiongea na wajumbe

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongea na wajumbe

Sehemu ya Mabalozi ambao ni wakurugenzi wa Idara mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wajumbe

Sehemu ya mabalozi wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Mabalozi wakifuatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifafanua jambo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea na hotuba

Mabalozi wakinakiri kwa makini hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Mabalozi wakinakiri kwa makini hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Mabalozi wakinakiri kwa makini hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Mabalozi wakinakiri kwa makini hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Kila mtu alikuwa makini wakat wa hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Kila mtu alikuwa makini wakat wa hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Kila mtu alikuwa makini wakat wa hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifafanua jambo

Balozi
wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akisimama baada ya
kupongezwa na Rais Dkt. Magufuli kwa juhudi zake za kupatia makazi
watumishi ubalozini
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269