Breaking News

Your Ad Spot

Dec 6, 2016

CCM YAOMBOLEZA KIFO CHA PROFESA IDRISA MTULIA

ENZI ZA UHAI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (ushoto) akisalimiana na Profesa Idrisa Mtulia katika mji mdogo wa Ikwiriri wilayani Rufiji akiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama katika mkoa wa Pwani. Picha Maktaba


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages