Breaking News

Your Ad Spot

Dec 5, 2016

DAS ILALA EDWARD MPOGOLO AZINDUA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA NA WATOTO WILAYANI HUMO LEO

Bango liliandaliwa kwa ajili ya Maadhimisho hayo
Katibu Tawala wa wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akiwasili kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mwembeni, Vngunguti kwenye uzinduzi wa Maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa Jinsia na watoto kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mwwembeni, wilayani humo mkoani Dar es Salaam, leo. Pamoja naye ni Kamanda wa Polisi Ilala, Salum Hamdani.
Katibu Tawala wa wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo alifurahia jambo na Kamanda wa Polisi IlalaSalum Hamdan baada ya kuketi meza kuu
Watoto wakiselebuka kwa burudani ya muziki wakati wa hafla hiyo
Maandamano maalum yakipita mitaani, kwenda kwenye viwanja vya shule ya msingi Mwembeni ambako yalipokelewa na Ofisa Tawala wa wilaya ya Ilala Edward Mpogolo
Maandamano maalum yakipita mitaani, kwenda kwenye viwanja vya shule ya msingi Mwembeni ambako yalipokelewa na Ofisa Tawala wa wilaya ya Ilala Edward Mpogolo
Maandamano maalum yakipita mitaani, kwenda kwenye viwanja vya shule ya msingi Mwembeni ambako yalipokelewa na Ofisa Tawala wa wilaya ya Ilala Edward Mpogolo
Ofisa Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, Kamanda Salum Hamdani na Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, ambaye ni Diwani wa Kata ya Vingunguti Omari Kumbilamoto, wakiwa wamesimama kupokea maandamano hayo.
Ofisa Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, Kamanda Salum Hamdani na Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, ambaye ni Diwani wa Kata ya Vingunguti Omari Kumbilamoto, wakiwa wamesimama kupokea maandamano hayo.
Ofisa Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, Kamanda Salum Hamdani na Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, ambaye ni Diwani wa Kata ya Vingunguti Omari Kumbilamoto, wakiwa wamesimama kupokea maandamano hayo.
MC wa shughuli hiyo, Eugen Mwapondele akihamasisha
Watoto kutoka kikundi cha Kituo cha Mwana cha Vingunguti wakiimba wimbo Maalum
Watoto kutoka kikundi cha Kituo cha Mwana cha Vingunguti wakiimba wimbo Maalum
Baadhi ya waliohudhuria wakitoa ujumbe kwa bango
Sheikh  Mohammed Mtutuma akisoma dua kabla ya shughuli kuendele
Mratibu wa shughuli hiyo Judith Faustine akiomba dua kabla ya shughuli kuendelea


Msanii kutoka kikundi cha Buyope Youth Centre Mohammed Thabiti, akifanya vitu vyake kuchangamsha shughuli hiyo.
Mohammed thabiti na Peter John wa kikundi cha Buyope wakionyesha uhodari wao katika kucheza ngoma
Sijali Mohammed wa kikundi hicho naye akionyesha umahiri wake katika kucheza ngoma
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omari Kumbilamoto akitoa salamu, baada ya kukaribishwa kuwasalimia wananchi katika hafla hiyo
Mwakilishi wa Taasisi ya WiLDAF akizungumza
Baadhi ya Maofisa wa Polilisi waliohudhuria shughuli hiyo
Baadhi ya maofisa wa Polisi waliohudhuria hafla hiyo
Mtoto akiwa amepanda na kutulia tuli kwenye uzio ili kuona vizuri kila kilichokuwa kikifanyika kwenye uzinduzi wa maadhimishohayo
Kamanda wa Polisi Ilala, ACP Salum Hamdani akizungumza wakati wa uzinduzi wa maadhimisho hayo
Katibu Tawala wa Ilala Edward Mpogolo akitoa hotoba yake wakati wa uzinduzi wa maadhimisho hayo. Kuisoma hotuma hiyo Tafadhali/>>BOFYA HAPA
Vijana wakifuatilia hotuba ya Mpogolo
Watoto wakiwa wametulia wakati Mpogolo akihutubia
kamanda wa Polisi Ilala, ACP Salum Hamdani na Katibu tawala wa Ilala Edward Mpogolo wakiwa wameshika TV tayari kuwakabidhi watoto wa kituo cha Mwana cha Buguruni, ili waweze kuwa wanaangalia taarifa mbalimbali na burudani bila kulazimika kutoka kwenye kituo chao. Wapili Kulia ni Diwani Kumbilamto
wakikabidhi Tv hiyo iliyotolewa na Kamanda  Hamdani
Watoto wakimshukuru DAS
Watoto wakimshukuruKamanda Hamdani
Mpogolo na Kamanda Hamdani wakienda kukagua shughuli za madawati ya Polisi kuhusu kupinga ukatili wa Jinsia na watoto katika wilaya ya Ilala
Sajenti Doris Gweba wa Dawati la kupambana na ukatili wa kijinsia na watoto Ilala, akitoa maelezo kwa DAS jinsi wanavyofanyakazi
DAS Mpogolo akizungumza na waandishi wa habari mwisho wa uzinduzi huo
Mpogolo akiagana na Makamanda wa Ilala kabla ya kuondoka
Katibu Tawala wa wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akiwa tayari kupanda gari kurudi ofisini baada ya kuzidua maadhimishohayo. Picha zote na Bashir Nkoromo. Tafadhali ukipenda kusoma Hotuba aliyotoa Mpogolo kwenye uzinduzi huo, usipate taabu/>>BOFYA HAPA TU

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages