Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akimsalimia Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela alipofika kumtembelea nyumbani kwake, Kilimani mkoani Dodoma leo
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na Mzee Malecela, alipoenda kumtembelea nyumbani kwake, Kilimani mjini Dodoma leo
Wakiagana kabla ya Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kuondoka nyumbani kwa Mzee Malecela. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot



No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269