Breaking News

Your Ad Spot

Mar 19, 2017

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM-BARA RODRICK MPOGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA HAPA NCHINI, LEO JIJINI DAR ES SALAAM

  Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akizungumza na Balozi wa China hapa nchini, Dk. Lu Youqing, nyumbani kwa Balozi huyo, jijini Dar es Salaam, leo, Machi 19, 2017. Mazungumzo hayo yalihusu zaidi kuhusu juhudi za kuongeza ushirikiano baina na CCM na Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) katika nyanja mbalimbali ikiwemo uhusiano wa kidundugu uliopo kwa siku nyingi baina ya vyama hivyo na uchumi. (Picha na Bashir Nkoromo).
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akizungumza na Balozi wa China hapa nchini, Dk. Lu Youqing, nyumbani kwa Balozi huyo, jijini Dar es Salaam, leo, Machi 19, 2017. Mazungumzo hayo yalihusu zaidi kuhusu juhudi za kuongeza ushirikiano baina na CCM na Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) katika nyanja mbalimbali ikiwemo uhusiano wa kidundugu uliopo kwa siku nyingi baina ya vyama hivyo na uchumi. Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
 Baadhi ya viongozi aliofuatana nao, Naibu Katibu Mkuu wa CCM wakifuatilia mazungumzo hayo. Kulia ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga 
 Balozi huyo wa China hapa nchini akimfafanulia jambo Mpogolo wakati wa mazungumzo hayo
  Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akiwa na Balozi wa China hapa nchini, Dk. Lu Youqing, nyumbani kwa Balozi huyo, baada ya mazungumzo yao jijini Dar es Salaam, leo, Machi 19, 2017. Kulia ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga
  Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akimshukuru Balozi wa China hapa nchini, Dk. Lu Youqing, baada ya mazungumzo yao, nyumbani kwa Balozi huyo, jijini Dar es Salaam, leo, Machi 19, 2017. (Picha zote na Bashir Nkoromo).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages