Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Waziri wa Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu
aliyefika Ikulu pamoja na ujumbe wake kwa ajili ya mazungumzo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika mazungumzo na Waziri wa Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa
Mailu kuhusu Tanzania kupeleka madaktari 500 nchini Kenya, Ajira za
Madaktari hao zitatangazwa mara moja na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu na
zitawahusu Madaktari ambao hawajaajiriwa Serikalini ambao hawapo katika
utumishi wa umma au taasisi za serikali waliomaliza mafunzo kwa vitendo
na ambao wamesajiliwa na Baraza la Madaktari la Tanganyika.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika mazungumzo na ujumbe kutoka nchini Kenya uliongozwa na Waziri wa
Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Gavana wa Kisumu County Jack Rangumba ambaye aliambatana
na Waziri wa Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wanahabari mara baada ya kumaliza mazungumzo na Waziri wa
Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha na Waziri wa Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu
aliyeambatana pamoja na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu akizungumza na Wanahabari
mara baada ya kumaliza mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na Waziri wa Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu mara
baada ya kumaliza mazungumzo yao.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akimuelekeza jambo Waziri wa Afya kutoka nchini Kenya Dkt. Cleopa Mailu
pamoja na Gavana wa Kisumu County Jack Rangumba kabla hawajaondoka Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Afya Ummy Mwalimu akizungumza kuhusu Kutangaza ajira za Madaktari
wapatao 500 ambao watakwenda kufanya kazi nchini Kenya. Ajira hizo
zitawahusu Madaktari ambao hawajaajiriwa Serikalini hawapo katika
utumishi wa umma au taasisi za serikali. (PICHA NA IKULU).
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269