Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimfariji mjane wa
Marehemu, George Kahama, Mama Jannet Kahama, wakati alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwa
marehemu, Mikocheni jijini Dar es salaam, Machi 17, 2017. Wengine pichani ni
wanafamilia. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI
MKUU)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiifariji , familia ya
Marehemu, George Kahama wakati alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwa
marehemu, Mikocheni jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269