Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius, Bw. Vishnu Lutchmeenaraidoo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Sir Seewoosagur Ramgoolam nchini Mauritius kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Africa mjini Port Luis kuanzi kesho, Machi 20, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius, Bw. Vishnu Lutchmeenaraidoo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Sir Seewoosagur Ramgoolam nchini Mauritius kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Africa mjini Port Luis kuanzi kesho, Machi 20, 2017. Kulia ni mkewe Mary Majaliwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiogozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius, Bw. Vishnu Lutchmeenaraidoo wakati alipopokelewa kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Sir Seewoosagur Ramgoolam nchini Mauritius kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika Uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Africa mjini Port Luis kuanzi kesho, Machi 20, 2017. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Your Ad Spot
Mar 19, 2017
Home
Unlabelled
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWASILI MAURITIUS KUMWAKILISHA JPM KATIKA UZINDUZI WA JUKWAA LA UCHUMI LA AFRIKA
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWASILI MAURITIUS KUMWAKILISHA JPM KATIKA UZINDUZI WA JUKWAA LA UCHUMI LA AFRIKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269