Breaking News

Your Ad Spot

May 26, 2017

MAKINDA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA KUJADILI MAENDELEO YA TANZANIA NA KOREA


 Pichani ni Spika Mstaafu, Anne Makinda. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
  Spika  Mstaafu, Anne Makinda (kulia) akiingia Ukumbini na kushoto ni Rais na mwanzilishi wa Chingu Kota
 Spika  Mstaafu, Anne Makinda (wa pili kulia) akizungumza wakati wa Mkutano wa kujadili utamaduni wa Korea Kusini na nchi zingine za Asia uliowahusisha wanafunzi wa vyuo vikuu Jijini Dar ea Salaam mei 25, 2017. Wapili kushoto ni Profesa, Geofrey Calimag kutoka Korea, kulia ni Rais na  Mwanzilishi wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Chingu  Kota, Andrew  Bukuku na kushoto ni Mweka hazina wa Taasisi hiyo, Pamela Bukuku 

 Rais na  Mwanzilishi wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Chingu  Kota, Andrew  Bukuku (kulia) akizungumza  wakati wa Mkutano wa kujadili utamaduni wa Korea Kusini na nchi zingine za Asia uliowahusisha wanafunzi wa vyuo vikuu Jijini Dar ea Salaam mei 25, 2017.kuanzia kusho ni  Profesa, Geofrey Calimag kutoka Korea na Spika  Mstaafu, Anne Makinda

  Rais na  Mwanzilishi wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Chingu  Kota, Andrew  Bukuku katika picha ya pamoja na wageni wake wa ndani na kutoka Korea Kusini na China

 Profesa, Geofrey Calimag (wa pili kushoto) akizungumza katika Mkutano huo, kuanzia kulia ni Rais na  Mwanzilishi wa Taasisi hiyo isiyo ya Kiserikali ya Chingu  Kota, Andrew  Bukuku, Spika  Mstaafu, Anne Makinda na Mweka hazina wa Taasisi hiyo, Pamela Bukuku






No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages