Rais Dk John Magufuli akishuka baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo akitokea mkoani Kilimanjaro alikokuwa katika ziara ya kikazi ya siku tatu, ikiwemo kuhudhuria Sherehe za Siku ya wafanyakazi za Mei Mosi zilizofanyika Kitaifa mkoani humo, jana
Rais Dk John Magufuli akipokewa na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo
Rais Dk John Magufuli akifuatana na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo
Rais Dk JohnMagufuli akimsalimia Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Salum Ali Happy, wakati Wakuu wa wilaya za mkoa wa Dar es Salaam, walipojitokeza kumlaki Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere leo PICHA NA IKULU
Your Ad Spot
May 2, 2017
Home
Unlabelled
RAIS DK JOHN MAGUFULI AWASILI DAR, LEO BAADA YA ZIARA MKOANI KILIMANJARO
RAIS DK JOHN MAGUFULI AWASILI DAR, LEO BAADA YA ZIARA MKOANI KILIMANJARO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269