Breaking News

Your Ad Spot

May 24, 2017

RAIS DK. MAGUFULI AMTEUA TIXSON NZUNDA KUWA NAIBU MKURUGENZI MKUU TAMISEMI-ELIMU

Ikulu, Dar es Salaam.
Rais Dk. John Magufuli leo tarehe 24 Mei, 2017 amemteua Katibu Tawala wa mkoa wa Rukwa, Tixon Tuliangine Nzunda kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) unade wa Elimu.

Tixon Tuliangine Nzunda anachukuwa nafasi ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) unande wa Elimu  Bernard Makali ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa. Uteuzi huu unaanza mara moja.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages