Breaking News

Your Ad Spot

Jun 28, 2017

MTOTO WA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ANG'ARA MAREKANI

Rashid Jakaya Kikwete(Katikat) ambaye ni mtoto wa Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, ameg'ara kwa kujinyakulia medali ya dhahabu katika mashindano ya Uwezo wa Kitaaluma yajulikanayo kama GENIUS OLYMPIAD yaliyofanyika nchini Marekani.

Katika mashindano hayo yaliyoshirikisha nchini 63 Duniani, Rashid amejipatia medali hiyo sambamba na wanafunzi wenzake wa Shule ya Sekondari ya Feza Boys ya Dar es Salaam, ambao ni Abdulrazak Juma Mkamia na Abdallah Rubeya

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages