Breaking News

Your Ad Spot

Oct 30, 2017

MAKAMU WA RAIS AZINDUA SERA YA TAIFA YA HUDUMA NDOGO YA FEDHA MJINI DODOMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akionyesha kitabu cha sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha ya Mwaka 2017 pamoja na Mkakati wa Utekelezaji mara baada ya kukizindua kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip  Mpango na Mkurugenzi Mtendaji wa FSDT Bw. Sosthenes Kewe.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa uzinduzi wa sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha ya Mwaka 2017 pamoja na Mkakati wa Utekelezaji uliofanyika kwenye ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango mjini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages