Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akionyesha kitabu cha sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha ya Mwaka 2017 pamoja na Mkakati wa Utekelezaji mara baada ya kukizindua kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango na Mkurugenzi Mtendaji wa FSDT Bw. Sosthenes Kewe.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa uzinduzi wa sera ya Taifa ya Huduma Ndogo za Fedha ya Mwaka 2017 pamoja na Mkakati wa Utekelezaji uliofanyika kwenye ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango mjini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269