Breaking News

Your Ad Spot

Oct 23, 2017

MOSHY KIYUNGI ASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 60 KWA KUTEMBEA KITUO CHA WATOTO YATIMA, SINZA

 Mpigapicha mkongwe wa picha za habari ambaye kwa sasa ni Meneja wa Kituo cha Radio cha Tabora FM Moshy Kiyungi akikabidhi zawadi watoto wa kituo cha Watoto yatima cha Sinza jijini dar es Salaam, jana, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea miaka 60 ya kuzaliwa kwake.
 Ustadhi ambaye ni Mkuu wa Kituo hicho cha yatima, akiongoza dua maalum iliyosomwa kabla ya Kiyungi kukabidhi msaada
 Moshi Kiyungi (kulia) akipokea dua
 Kiyungi akiendelea kukabidhi msaada
 Kiyungi akiendelea kukabidhi msaada
 Mkuu wa Kituo hicho akimshukuru Kiyungi
 Mmoja wa watoto wa kituo hicho akibeba katoni ya juisi baada ya Kiyungi kikabidhi msaada huo
Kiyungi na baadhi ya wanafamilia yake wakiwa katika picha ya pamoja na watoto na wafanyakazi wa kituo hicho cha yatima

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages