Breaking News

Your Ad Spot

Nov 4, 2017

RAIS DK. MAGUFULI MAPUMZIKONI KIJIJINI KWAO, LUBAMBAGWE WILAYANI CHATO, GEITA

 Rais Dk. John Magufuli akiangalia picha aliyokuwa akionyeshwa kwenye simu na mama yake, Mama Suzana Magufuli walipokuwa wamepumzika nyumbani kwao katika kijiji cha Lubambangwe Chato mkoani Geita, leo Rais yupo mapumzikoni.
Rais Dk. John Magufuli akisikiliza radio na Mama yake mzazi Suzana Magufuli walipokuwa wamepumzika nyumbani kwao katika kijiji cha Lubambagwe, Chato mkoani Geita. Kushoto ni mdogo wake Asteria PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages