Breaking News

Your Ad Spot

Feb 21, 2018

RAIS DK MAGUFULI AONDOKA DAR ES SALAAM KWENDA KAMPALA NCHINI UGANDA, LEO

RaisDk John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo kabla ya kupanda ndege kwenda nchini Uganda kushiriki Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika jijini Kampala nchini humo. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages