Breaking News

Your Ad Spot

Feb 24, 2018

UBALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA WAADHIMISHA SIKUKUU YA KITAIFA NA UKOMBOZI

Ubalozi wa Kuwait nchini Tanzania uliandaa hafla ya kuadhimisha miaka 57 ya Uhuru wa Kuwait, miaka 27 ya Ukombozi na miaka 12 tangu Mfalme wa Kuwait Mheshimiwa Sheikh Sabah Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah apokee uongozi wa nchi hiyo. 
Hafla hiyo ilihudhuriwa na wageni waalikwa mbalimbali wakiongozwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Suzan Kolimba, Waziri mkuu mstaafu Dr.Salim Ahmed Salim, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zubeir Ali Maulid, Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir bin Ally, Naibu Waziri wa Ndani Mhandisi, Hamad Masauni pamoja na viongozi wa juu wa serikali, mabalozi wa nchi za kigeni na mashirika ya kimataifa na wataalamu wa fani mbalimbali na vyombo vya habari

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages