Breaking News

Your Ad Spot

Jun 8, 2018

DK MNDOLWA AANZA ZIARA MIKOA YA KANDA YA ZIWA NA SINGIDA LEO

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akisalimia viongozi wa Jumuia hiyo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Bukoba leo kuanza ziara katika mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza na Singida.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya hiyo mkoa wa Kagera katika Ofisi ya CCM mkoani humo, leo
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Edmund Mndolwa akizungumza na viongozi hao
Viongozi meza Kuu wakiwa na Dk Mndolwa
Add caption

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages