Breaking News

Your Ad Spot

Mar 27, 2025

RAIS DK. SAMIA APOKEA TAARIFA ZA CAG, TAKUKURU, IKULU JOJINI DAR ES SALAAM, LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2023/24 kutoka Charles Kichere kwenye hafla  iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Machi 27,  2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa ya Mwaka ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Crispin Chalamila kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Machi 27, 2025.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages