RAIS Jakaya Kikwete akimpa pole mtoto Brenda Boniface(4) aliyelazwa katika Hospitali ya shirika la Elimu Kibaha mkoa wa Pwani kwa kuugua malaria, baada ya kufungua jengo la Mama na Mtoto lililojengwa na Taasisi ya Korea Rotary Internationa katika hospitali hiyo, leo.Kulia ni mama wa mtoto huyo,Tiasaeli Palangyo.(Picha na Freddy Maro)
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269