Vitabu 'Binadamu na Kazi' na Ukweli kwa Mujibu wa Biblia, Kurani Tukufu, Suna za Mtume Muhammad (SAW) na Sheria za Nchi vilivyozinduliwa leo na Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, kwenye ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
Makamu wa Rais akionyesha kitabu cha kwanza baada ya kuzindua. Kulia ni Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yussuf Makamba na Kushoto ni Mama Januari, mke wa Mzee Makamba.
Dk. Bilal akionyesha kitabu cha pili baada ya kuzindua
Your Ad Spot
May 27, 2012
Home
Unlabelled
VITABU VYA MZEE MAKAMBA VYAZINDULIWA LEO NA MAKAMU WA RAIS
VITABU VYA MZEE MAKAMBA VYAZINDULIWA LEO NA MAKAMU WA RAIS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269