Breaking News

Your Ad Spot

May 27, 2012

VITABU VYA MZEE MAKAMBA VYAZINDULIWA LEO NA MAKAMU WA RAIS

 Vitabu 'Binadamu na Kazi' na Ukweli kwa Mujibu wa Biblia, Kurani Tukufu, Suna za Mtume Muhammad (SAW) na Sheria za Nchi vilivyozinduliwa leo na Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, kwenye ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais akionyesha kitabu cha kwanza baada ya kuzindua. Kulia ni Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yussuf Makamba na Kushoto ni Mama Januari, mke wa Mzee Makamba.
Dk. Bilal akionyesha kitabu cha pili  baada ya kuzindua

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages