Breaking News

Your Ad Spot

Aug 21, 2013

MAZISHI YA NEMELA NEEMA MANGULA YAFANYIKA NJOMBE

 Mwakilishi wa Mheshimiwa Rais katika mazishi ya Nemela  Mangula  Mh. Anne Makinda akiwa ameongozana na Mh. Wassira na viongozi wengine wakipitia wosifu wa marehemu pamoja na ratiba za mazishi.
Wana familia na waombolezaji wakiwa katika hali ya huzuni.
Wanafunzi wa Chuo cha Diplomasia wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Nemela Mangula,mkoani Njombe. 
Jeneza la Neema Philip Mangula
Watumishi wa CCM Makao Makuu wakibadilishana mawazo na Viongozi wa Dini wakati wa mazishi ya Neema Mangula.

Mahala ulipopumzishwa mwili wa Neema Mangula.


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages