Breaking News

Your Ad Spot

Aug 29, 2013

ZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR NCHINI UHOLANZI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Waziri wa Biashara za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Nchini Uholanzi Bibi.Lilianne Ploumen,alipofika Ofisini kwake Mjini The Hague jana akiwana ujumbe wake  katika ziara ya siku tano Nchini humo.[Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akibadilishana mawazo na Waziri wa Biashara za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa  Bibi.Lilianne Ploumen,nje ya Ofisi yake katika Mji wa The Hague Nchini Uholanzi,akiwa katika ziara ya siku tano katika Mji huo. [Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell Peter Voser,alipofika katika Makamo Makuu ya Kampuni hiyo katika Mji wa The Hague Nchini Uholanzi jana akiwa katika ziara ya siku tano na ujumbe wake. [Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.]



 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akifafanua jambo wakati wa mazungumzo kati ya Kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell na Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, katika ukumbi wa Makao Makuu ya Kampuni hiyo Mjini The Hague nchini Uholanzi,(kutoka kulia) Waziri wa Ardhi, Maji Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban, Kiongozi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell Peter Voser,(kushoto) Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi Mahadhi Juma Maalim, na John  Crocker, ni miongozi mwa Viongozi wa Kampuni ya Shell. [Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, (kulia) na ujumbe wake wakiwa kwenye kikao cha pamoja na uongozi wa kampuni ya Mafuta ya Dutch Shell (Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.]

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages