Ikulu, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemteua Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Makenya Abraham Honoratus Maboko kuwa Mwenyekiti waTume ya Sayansi naTeknolojiaTanzania (COSTECH), kuanzia leo Februari 19, 2018.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269