Breaking News

Your Ad Spot

Dec 9, 2009

MAADHIMISHO YA MIAKA 48 YA UHURU, DAR

SPIKA wa Bunge  Samwel Sitta akikaribishwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, William Lukuvi kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika maadhimishohayo.

AMIRIJESHI Mkuu wa Majeshi ya Uli8nzi na Usalama, Rais jakaya Kikwete akiingia kwa gari la wazi katika Uwanja wa Uhuru kuongoza sherehe hizo. pamoja naye ni Mkuu wa Majeshi , Jenerali Davius Mwamunyange.

 AMIRIJESHI Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jakaya Kikwete, akikagua gwaride maalum liliandaliwa na Majeshi ya Ulinzi na Usalama kusherehekea maadhimisho hayo, kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, jana.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages