KATIBU Mkuu wa Wizara ta Maliasili na Utaliiu, Dk. Ladislaus Komba akitoa hotuba katika mahafalai ya saba ya Chuo Cha Taifa Cha Utalii, yaliyofanyika jana chuoni hapo, Tandika, Dar es Salaam.
WANAMUZIKI wa bendi ya muziki wa ala za mapipa ya JKT, wakitumbuiza wakati wamahafali hayo
WAHITIMU wakiwa katika mahafali ya saba ya Chuo cha Taifa cha Utalii, yaliyofanyika katika chuo hicho, Tandika, Dar es Salaam, jana.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269