Breaking News

Your Ad Spot

Dec 31, 2009

SIMBA WA VITA ALAZWA

RAIS Jakaya Kikwete akimjulia hali Mzee Rashid Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili leo jioni. Kulia ni Profesa Victor Mwafongo. Mzee Kawawa alipelekwa Muhimbili baada ya kujisikia vibaya Vipimo vinaendelea kujua anasumbuliwa na nini na hali yake ni stable.


Picha na Freddy Maro wa Ikulu

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages