Breaking News

Your Ad Spot

Dec 30, 2009

GABRIEL AMOSS MAKALLA AUKWAA UENYEKITI CHIPUKIZI TAIFA

Gabriel Amos KATIBU wa Siasa na Uenezi wa mkoa wa Morogoro, Kulwa Milonge, akimpongeza Gabriel Amos baada ya kutangazwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi wa CCM Taifa katika uchaguzi uliofanyika juzi, Chuo cha Ualimu Morogoro. Gabriel ni mtoto wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Uchumi na Fedha, Amos Makalla. (Picha na Latifa Ganzel).

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages