Breaking News

Your Ad Spot

Jan 23, 2010

JK ATEMBELEA MELI ZA KIVITA ZA MAREKANI ZILIZOTIA NANGA DAR


KAMANDA anayeingoza meli ya kivita ya jeshi la Marekani, USS Nicholas, Mark Kesselring akimuongoza Rais Jakaya Kikwete kukagua alipoitembelea na kuzungumza na maofisa wa jeshi waliomo leo jioni katika bandari ya Dar es Salaam. Meli hizo zitaondoka leo.  (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages