Breaking News

Your Ad Spot

Jan 27, 2010

LIGI KUU YA VODA; MAJIMAJI YATOSHANA NGUVU NA JKT RUVU

 MSHAMBULIAJI wa timu ya JKT Ruvu, Amosi Mgisa (kushoto) akipambana na beki wa Majimaji S.C ya Songea, Mohamed Ngole, timu hizo zilipomenyana jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom. Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. Picha na Mdau wa Chachandu- Daily

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages