Breaking News

Your Ad Spot

Jan 30, 2010

VIONGOZI WA UENEZI WA CCM WILAYA NA MATAWI ILALA WATEMBELEA UPL

MHARIRI Mtendaji wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, wachapishaji wa magazetiu ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Josiah Mufungo akimkaribisha katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM wilaya ya Ilala, Saidi Sidem alipowasili na makatibu wa siasa na uenezi wa kata za wilaya hiyo kufahamu shughuli mbalimbali za uzalishaji za UPL leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM tawi la UPL, Lucas Kisasa.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages