Breaking News

Your Ad Spot

Feb 26, 2010

KESHO NI SIKUKUU YA MAULID

KIJANA A akishiriki maandamano maalum  (Dhafaa) ya kukaribisha Sikukuu ya Maulid, jana yaliyoandaliwa na Waislamu mjini Dar es Salaam.
 Waislamu wakiwa katika matembezi wa Kumbukumbu ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), ambayo huadhimishwa kwa sherehe za Maulidi. sherehge hizo zinaanza kwa mkesha usiku wa kuamkia kesho.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages