Breaking News

Your Ad Spot

Feb 26, 2010

NAPE AIPIGA JEKI UHURU FC

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Nape Nnauye (kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada wa jozi moja ya jezi, Katibu wa CCM Tawi la Uhuru Publications Ltd (UPL), wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Abubakar Muna jana, mjini Dar es Salaam, kwa ajili ya timu ya soka ya Uhuru FC inayojiandaa kushiriki michuano ya NSSF itakayoanza kutimua vumbi mwanzoni mwa mwezi ujao. Wapili kushoto ni Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) tawi la UPL, Sophia Ashery na Nahodha Uhuru FC, Mussa Hassani

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages