Breaking News

Your Ad Spot

Feb 11, 2010

LUMPOPO YAWASILI DAR LEO KUKABILIANA NA YANGA

KOCHA Mkuu wa timu ya Lumpopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo-DRC, Eric Kapenda akizungumza na waandishi wa habari, timu hiyo ilipowasili leo jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, kwa ajili ya mpambano wake na Yanga, utakaofanyika keshokutwa Uwanja wa Taifa, jijini.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages