Breaking News

Your Ad Spot

Feb 20, 2010

WATANGAZAJI UHURU FM WAPATA NONDOZZZZZZ TSJ

WATANGAZAJI wa UHURU FM Samirah na Kigwa One wakiwa katika majoho wakati wa mahafali ya tisa ya Chuo Cha Uandishi wa Habari cha Times cha pale Sharifu-Shamba, Ilala, Dar es Salaam cha (TSJ), leo, Jumla ya vijana 150 wamepata nondozzzi zao.
Samirah akiwa katika pozi la furaha wakati akisubiri kukabidhiwa rasmi cheti chake cha Unondozzzzi hapo TSJ leo leo.
Mgeni rasmi katika mahjafali ya tisa ya TSJ mbunge wa Ilala, Azan Zungu akimkabidhi cheti Sammy.
Mgeni rasmi Azan Zungu akimkabidhi cheti chake Kigwa One katika mahafali hayo
The Sammy akiwa na mate wake ambao amkula nao nondozzzzzz
Mtangazaji wa UHURU FM akiwapongeza wenzake kwa kuhitimu,wakatyi wa mahafali hayo leoWAASHARIKA wa Nondozzzz wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi mheshimiwa Zungu mwishoni mwishoni mwa mahafali hayo leo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages