MAONYESHO ya Maadhimisho ya 22 ya Wiki ya Maji leo yameendelea kwenye viwanja vya Mwendapole, Kibaha mkoa wa Pwani ambako watu wametembelea mabanda hupata maelezo kuhusu teknolojia na utoaji huduma za maji. Pichani, Mkemia wa Maji wa kampuni ya Maji Safi na Majitaka mkoawa Dar es Salaam na baadhi ya maeneo aya mkoa wa Pwani (DAWASA), Ttrust Soi akiwapatia maelezo vijana waliotembelea banda jilo.
Your Ad Spot
Mar 20, 2010
Home
Unlabelled
MAONYESHO YA MAADHIMISHO YA 22 YA WIKI YA MAJI YANEDELEA LEO
MAONYESHO YA MAADHIMISHO YA 22 YA WIKI YA MAJI YANEDELEA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269