Breaking News

Your Ad Spot

Mar 13, 2010

MAREFA 17 WA SOKA AKIWEMO MWANAMKE WAHITIMU MAFUNZO RUFIJI

MKURUGENZI huduma za afya wa chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania, Dk. Seif Rashid akimkabidhi kadi za kutumia wakati wa uamuzi wa mpira wa miguu, Tatu Mohamedi, ambaye ni miongoni waamuzi 17 waaliohitimu kozi ya kazi hiyo wilayani Rufiji, mkoa wa Pwani, juzi. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha soka mkoa wa huo(COREFA), Hassan Othman 'Hasanoo'.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages