MKURUGENZI huduma za afya wa chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania, Dk. Seif Rashid akimkabidhi kadi za kutumia wakati wa uamuzi wa mpira wa miguu, Tatu Mohamedi, ambaye ni miongoni waamuzi 17 waaliohitimu kozi ya kazi hiyo wilayani Rufiji, mkoa wa Pwani, juzi. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha soka mkoa wa huo(COREFA), Hassan Othman 'Hasanoo'.
Your Ad Spot
Mar 13, 2010
Home
Unlabelled
MAREFA 17 WA SOKA AKIWEMO MWANAMKE WAHITIMU MAFUNZO RUFIJI
MAREFA 17 WA SOKA AKIWEMO MWANAMKE WAHITIMU MAFUNZO RUFIJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269