MCHEZAJI Salum Chimae wa timu ya Majimaji (kushoto) akipambana na Salum Kingwande wa African Lyon, timu hizo zilipomenyana jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.MCHEZAJI Omaru Mnumbi wa timu ya Majimaji (kushoto) akipambana na Robert sentongo wa African Lyon, timu hizo zilipomenyana jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. MCHEZAJI James Mwakababu wa timu ya Majimaji (kushoto) akipambana na Aziz Sibo wa African Lyon, timu hizo zilipomenyana jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Your Ad Spot
Mar 12, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269