Breaking News

Your Ad Spot

Mar 24, 2010

STARS IKIJINOA LEO KWA MECHI YAKE YA 'CHAN' NA SOMALIA

WACHEZAJI wa timu ya taifa, Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa (kushoto) na Nurdin Bakari, wakichuana kuwania mpira, timu hiyo ilipofanya mazoezi yake leo kwenye Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam, leoWACHEZAJI Abdul Alim (kushoto) na Selemani Kasimu wa timu ya taifa, Taifa Stars, wakipambana kuwania mpira, wakati wa mazoezi ya timu hiyo, leo kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa Marcio Maximo akitoa somo kwa wachezaji wakati wa mazoezi hayo. Stars inatarajiwa kumenyana na Somalia kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, katika mchezo wa awali wa kuwania kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani yaani CHAN

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages