WACHEZAJI wa timu ya taifa, Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa (kushoto) na Nurdin Bakari, wakichuana kuwania mpira, timu hiyo ilipofanya mazoezi yake leo kwenye Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam, leoWACHEZAJI Abdul Alim (kushoto) na Selemani Kasimu wa timu ya taifa, Taifa Stars, wakipambana kuwania mpira, wakati wa mazoezi ya timu hiyo, leo kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa Marcio Maximo akitoa somo kwa wachezaji wakati wa mazoezi hayo. Stars inatarajiwa kumenyana na Somalia kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, katika mchezo wa awali wa kuwania kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani yaani CHAN
Your Ad Spot
Mar 24, 2010
Home
Unlabelled
STARS IKIJINOA LEO KWA MECHI YAKE YA 'CHAN' NA SOMALIA
STARS IKIJINOA LEO KWA MECHI YAKE YA 'CHAN' NA SOMALIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269