Breaking News

Your Ad Spot

Mar 28, 2010

SIKU MAKAMBA ALIPOJIANDIKISHA UPYA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA, WAZO

Alianza hivi....
Katibu Mkuu wa CCM Yussuf Makamba akijiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwenye kituo cha Wazo A, karibu na nyumbani kwake, Tegeta Dar es Salaam, jana. Awali alikuwa amejiandikisha kituo cha Bunge jijini wakati akiwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.Makamba akitia dole gumba baada ya kujiandikisha kwenye daftari hilo.Baadaye alienda nyumbani kwake baada ya kujiandiksia ambapo aliwaonyesha wadau shughuli zake za ufugaji.KATIBU Mkuu Yusuff Makamba akimlisha nyanya kasuku ambaye ni moja ya mifugo aliyonayo nyumbani kwake, Wazo Kisanga, Wazo, Tegeta, Dar es Salaam.
Halafu akakutana na mwane Yusuf   BU Mkuu wa CCM Yuissuf Makamba akimvisha tai mwane, Yussuf (13) aliyewasili nyumbanKATIi akitokea shuleni
SIKU HIYO HIYO AKAVISHWA NISHANI NA UVCCM KWA KUTOA MCHANGO MKUBWA KWA JUMUIA HIYO
KATIBU Mkuu wa CCM Yussuf  Makamba akivishwa nishani na Katibu Mkuu wa Imoja wa Vijana wa CCM,  Martine Shigella kwa ajili ya kutambua mchango Makamba katika kuiimarisha UVCCM, hafla hiyo iliyoambatana na kusimika makamana wa Umoja wa Vijana ilifanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages