WACHEZAJI wa soka kitoka kituo cha kukuza mchezo huo hapa nchini (Tanzania Soccer Academy), kutoka kushoto Salum Bakari, Awadhi Juma na Hassan Issa wakijifunza stadi ya kuumiliki mpira, timu hiyo ilipokuwa katika mazoezi kwenye uwanja wa Karume leo.Kipa wa Tanzania Soccer Academy akiruka vihunzi ikiwa ni moja ya mazoezi ya kumfanya awe fiti.
Your Ad Spot
Mar 23, 2010
Home
Unlabelled
TANZANIA SOCCER ACADEMY WAJIFUA LEO
TANZANIA SOCCER ACADEMY WAJIFUA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269