BALOZIi wa ugojwa wa Matende (ELEPHANTIASIS DISEASE) kwa nchi za Mashariki na Afirica ya kati (Ambassador for Elephantiasis disease in East and Central Africa) ambae pia ni Mshindi wa BBA2 Tatiana Durao kutoka Angola , leo jijini Dar es Salaam amezungumza na wandishi wa habari kuhusu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa Machi 31, 2010 pamoja na hilo atafanya ziara fupi katika kisiwa cha Unguja pamoja na kuwasaidia watoto wa KIWOHEDE wa jijini Dar es Salaam.Pichani akiwa katika picha ya pamoja na Msaidizi wake Ebmenalda Antonio (kulia) na (kushoto) Mmiliki wa Kampuni ya Truemedia mzaliwa wa Uganda Alice Mutumba. (miwani) Picha na Mwanakombo Jumaa-MALEZO.
Your Ad Spot
Mar 31, 2010
BALOZIi wa ugojwa wa Matende (ELEPHANTIASIS DISEASE) kwa nchi za Mashariki na Afirica ya kati (Ambassador for Elephantiasis disease in East and Central Africa) ambae pia ni Mshindi wa BBA2 Tatiana Durao kutoka Angola , leo jijini Dar es Salaam amezungumza na wandishi wa habari kuhusu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa Machi 31, 2010 pamoja na hilo atafanya ziara fupi katika kisiwa cha Unguja pamoja na kuwasaidia watoto wa KIWOHEDE wa jijini Dar es Salaam.Pichani akiwa katika picha ya pamoja na Msaidizi wake Ebmenalda Antonio (kulia) na (kushoto) Mmiliki wa Kampuni ya Truemedia mzaliwa wa Uganda Alice Mutumba. (miwani) Picha na Mwanakombo Jumaa-MALEZO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269