Breaking News

Your Ad Spot

Mar 31, 2010

TATIANA IN ZE TOWN


BALOZIi wa ugojwa wa Matende (ELEPHANTIASIS DISEASE) kwa nchi za Mashariki na Afirica ya kati (Ambassador for Elephantiasis disease in East and Central Africa) ambae pia ni Mshindi wa BBA2 Tatiana Durao kutoka Angola , leo jijini Dar es Salaam amezungumza na wandishi wa habari kuhusu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa Machi 31, 2010 pamoja na hilo atafanya ziara fupi katika kisiwa cha Unguja pamoja na kuwasaidia watoto wa KIWOHEDE wa jijini Dar es Salaam.Pichani akiwa katika picha ya pamoja na Msaidizi wake Ebmenalda Antonio (kulia) na (kushoto) Mmiliki wa Kampuni ya Truemedia mzaliwa wa Uganda Alice Mutumba. (miwani) Picha na Mwanakombo Jumaa-MALEZO.


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages