MWENYEKITI wa Yanga, Imani Madega akizungumzia sakata la mweka hazina wa timu hiyo God Mwenje kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kuuza tiketi bandia wa bandia wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, iliyozipambanisha Yanga na Moro United Machi 17, mwaka huu, kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Katika mkutano huo na waandishi wa habari uliofanyika jana, hoteli ya Millenium Tower, Kijitonyama, Madega alisema Yanga inakusudia kumsimamisha kazi mhasibu huyo.
Your Ad Spot
Mar 26, 2010
Home
Unlabelled
YANGA KUMSIMAISHA KAZI MHASIBU WAKE KWA MADAI YA KASHA YA KUUZA TIKETI FEKI
YANGA KUMSIMAISHA KAZI MHASIBU WAKE KWA MADAI YA KASHA YA KUUZA TIKETI FEKI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269