Breaking News

Your Ad Spot

Mar 26, 2010

YANGA KUMSIMAISHA KAZI MHASIBU WAKE KWA MADAI YA KASHA YA KUUZA TIKETI FEKI

MWENYEKITI wa Yanga, Imani Madega akizungumzia sakata la mweka hazina wa timu hiyo God Mwenje kukamatwa na polisi kwa tuhuma za kuuza tiketi bandia wa bandia wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, iliyozipambanisha Yanga na Moro United Machi 17, mwaka huu, kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Katika mkutano huo na waandishi wa habari uliofanyika jana, hoteli ya Millenium Tower, Kijitonyama, Madega alisema Yanga inakusudia kumsimamisha kazi mhasibu huyo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages