Breaking News

Your Ad Spot

May 24, 2010

KILI TAIFA CUP, ARUSHA NA SINGIDA ZAFUZU NUSU FAINALI

JACOB Masau wa timu ya Mwanza (kulia), akikabiliana na Nafu Sanane wa timu ya Arusha, timu hizo zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es salaam, mechi ya robo fainali ya michuano ya Kili Taifa Cup.Mwanza ililala kwa mabao 6-4.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages