Breaking News

Your Ad Spot

May 25, 2010

BAADA ya kuwa nyumbani kwao Congo DRC alikokwenda kwa ajili ya kuona familia yake kwa zaidi ya mwezi mmoja, Kiongozi nwa bendi ya Akudo Impact Christian Bella ametua nchini na kuungana na bendi yake akiwa na wanenguaji wapya wanne aliokuja nao
Akiwatambulisha leo kwa waandishi wa habari, katika baa ya Stereo Kinondoni, Dar es Salaam, kiongozi wa bendo hiyo Bella, aliwataaja wanenguaji hao kuwa ni Framcina Pesabiloko kutoka kwa Werason Ngiama, Patricia RG 512 aliyekuwa na Fally Pupa, Raussa Sangwa aliyekuwa na Bozi Boziana na mnenguaji wa zamani wa bendi hiyo, Faniu Bosawa ambaye naye alikuwa nchini Congo.
Bella akiwa na wanenguaji haoWanenguaji hao wakioinyesha umahiri wao walipotambulishwa kwa waandishi wa habari leo.


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages