Breaking News

Your Ad Spot

May 25, 2010

KILI TAIFA CUP, IRINGA YALALA KWA ILALA, KILIMANJARO IKIPANDWA NA LINDI LEO

TIMU za Ilala na Lindi zimefuzu kuingia nusu fainali za Kombe la Taifa, Kili Taifa Cup, baada ya kufanikiwa kuzizaba mabao timu zilizochuana nazo katika robo fainali, zilizorindima leo katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
     Katika mechi ya kwanza Ilala iliinyuka Iringa mabao 6-4 kwa mikwaju ya penati baada ya kumaliza dakika 90 zikiwa sare ya bao 1-1.
Na Lundi imefuzu baada ya kuizaba kiuhakika timu ya Kilimanjaro mabao safi 3-1.
NCHEZAJI Shabani Sunza wa Ilala (kushoto) wakichuana na Brighton Mponzi wa Iringa, timu hizo zilipomenyana jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika roboi fainali ya michuano ya Kili Taifa Cup. KOCHA wa timu ya Ilala  Jamhuri Kihwelo akikunbatiana na kocha wa Itinga Freddyu Felix Minziro baada ya mechi ya timu zao

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages