Breaking News

Your Ad Spot

May 26, 2010

KILI TAIFA CUP, SINGIDA YAING'OA ARUSHA; YATINGA FAINALI

*Yazisubiri Lindi au Ilala katika fainaliMSHAMBULIAJI wa timu ya Singida Kelvin Charlle (kulia) akimtoka beki wa Arusha, Saidi Mussa, timu hizo zilipomenyana jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, katika nusu fainali ya michuano ya Kili Taifa Cup. Singida imeibuka na ushindi wa mabao 3-1.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages